Rais wa WCB Diamond Platnumz Jumatatu hii amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushare picha inayomuonyesha akiwa na muonekano mpya wa mwele ambazo zimesukwa mtindo wa rasta.
Wadau wengi katika mitandao ya kijamii wanadai mtindo huo niwa kike kutokana na msuko huo kuacha nywele sehemu ya nyumba.
Bongo5 ilizungumza na Diamond kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema yeye ameona yupo sahihi ndio maana ameamua kufanya hivyo.

