Diamond awajibu wanaobeza style yake ya rasta ‘nimeamua kubadilisha muonekano’

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Tuesday, September 4, 2018

Diamond awajibu wanaobeza style yake ya rasta ‘nimeamua kubadilisha muonekano’

Rais wa WCB Diamond Platnumz Jumatatu hii amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushare picha inayomuonyesha akiwa na muonekano mpya wa mwele ambazo zimesukwa mtindo wa rasta.

Wadau wengi katika mitandao ya kijamii wanadai mtindo huo niwa kike kutokana na msuko huo kuacha nywele sehemu ya nyumba.
Bongo5 ilizungumza na Diamond kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema yeye ameona yupo sahihi ndio maana ameamua kufanya hivyo.
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top