Griezmann aipiga vijembe FIFA kuhusu tuzo za Ballon d’or na UEFA ashangazwa Messi kutolewa

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Wednesday, September 5, 2018

Griezmann aipiga vijembe FIFA kuhusu tuzo za Ballon d’or na UEFA ashangazwa Messi kutolewa

Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madid na timu ya taifa ya Ufaransa Antoine Griezmann amefunguka kuhusu tuzo za mchezaji bora wa Dunia Ballon d’or na kusema kuwa ni za ‘ajabu’

Griezmann licha ya kuzisaidia timu zake kutwaa mataji lakini hayupo kwenye orodha ya wachezaji watatu wanaowani tuzo ya mchezaji bora wa FIFA pia hakuwepo kwenye tuzo za mchezaji bora wa Ulaya UEFA ambazo zilifanyika katika mji wa Monaco.
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top